MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene “Try Again” leo Novemba 21, 2021 akiongea na wanachama wa klabu hiyo katika Mkutano Mkuu wa Simba mwaka 2021 kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere amesema Simba inakwenda kutetea tena ubingwa wake.
Pia amesema kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ amesema kuwa mzigo wa usajili upo na kuongezea kuwa awe Chama na wengine watawasajili.
#tryagain #modewji #simbasc #MpenjaTv
![](https://i.ytimg.com/vi/FB2oz0JLctQ/maxresdefault.jpg)