Mabomu ya cluster yamepigwa marufuku zaidi ya nchi 100, lakini wakati Ukraine inaishiwa na hifadhi ya silaha katika kujibu mashambulizi dhidi ya Russia Marekani hivi sasa imekubali kupeleka mabomu hayo anaeleza Msemaji wa Baraza la Taifa la Usalama la Marekani. Endelea kumsikiliza...
#marekani #makombora #silaha #ukraine #mabomu #clusterbombs #madhara #voa #voaswahili #dunianileo #russia #msemaji #usalamawataifa #mashambulizi
- - - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Ещё видео!