UNYAMA! MTOTO MIAKA 8 ABAKWA na BABA wa KAMBO NJOMBE, IMANI ZA KISHIRIKINA ZATAJWA...
Jeshi La Polisi Mkoa Wa Njombe Linamshikilia Menrad Mbigi Wa Umriwa Mika 28 Mkazi Wa Mtaa Wa Mpechi Mjini Njombe Kwa Tuhuma Za Kubaka Mtoto Wake Wa Kike Wa Kufikia Mwenye Umri Wa Miaka 8 Tukio Ambalo Linahusishwa Na Imani Za Kishirikina.
Akizungumza Na Vyombo Vya Habari Kamanda Wa Polisi Mkoa Wa Njombe Hamis Issah Amesema Kuwa Uchunguzi Wa Tukio Hilo Ambalo Linahusishwa Na Imani Za Kishirikina Bado Unaendelea.
Kituo Hiki Kimezungumza Na Mwenyekiti Wa Mtaa Wa Mpechi Hapa Mjini Njombe Onesmo Kilasi Ameeleza Nanma Serikali Yake Kwa Kushirikiana Na Wananchi Ilivyofanikisha Kuibua Tukio Hilo.
Badhi Ya Wananchi Mjini Hapa Wamezungumzia Namana Matukio Ya Ukatili Yanavyoathiri Watoto Huku Wakitoa Wito Kwa Malaka Za Kisheria Kutoa Haki
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/FQHsawZBycw/maxresdefault.jpg)