DC NIKKI WA PILI ATOA ONYO KALI KWA WAZAZI - "TUKIMKUTA MTOTO KWENYE NGOMA TUNAMKAMATA MZAZI WAKE"..
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Nickson Simon maarufu Nikki wa pili ametoa onyo kwa wazazi walezi wote wanaomshawishi mwanafunzi ajifelishe na wale wanafunzi wanahudhuria kwenye ngoma wakati wa wkiendi na amesema watakapomkuta mtoto kwenye ngoma hatua kali zitachukuliwa kwa mzazi wa mwanafunzi huyo.
Mhe.Nickson Simon ameyasema hayo alipofanya kikao maalumu cha elimu cha wilaya kupanga malengo katika sekta ya elimu kichojumuisha maafisa elimu,pamoja na wakuu wa shule za msingi na sekondari.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!