Ikiwa kazi ya Mwenyezi Mungu haina Makosa, je Shetani alitoka wapi? Je Mwenyezi Mungu alimuumba Shetani ili alete taabu na shida juu ya uso wa dunia hii, fuatilia video hii ili kufahamu kisa cha Ibilisi, majini na pepo wabaya je walitoka wapi hawa wote? Vitabu vitakatifu vinaweka wazi chanzo cha kiumbe huyu mwovu.
Unaweza kuwasiliana nasi kwa mafundisho zaidi +255 625 776 984
Ещё видео!