JOKATE ATOA MAAGIZO kwa WAZIRI MCHENGERWA - NI KUHUSU MIKOPO ya 10% -AMTAJA RAS SAMIA KAMA KINARA...
Katibu wa Umoja wa wanawake CCM Taifa Jokate Mwegelo, ametoa maagizo kwa Waziri wa TAMISEMI kuharakisha mchakato wa kurejeshwa kwa mikopo ya asilimia katika Halmashauri ili wanawake waendelee kunufaika nayo.
Mwegelo ametoa maagizo hayo leo, wakati wa kongamano la Kupongeza Rais Rais Samia Suruhu Hassan, kwa kutimiza miaka mitatu ya utumishi wake Kama Rais wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania lililoandaliwa na uongozi wa Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
Ещё видео!