Mwanamuziki Recho Kizunguzungu au Winifrida Josephat alikaa kwa muda mrefu kwenye meza ya Bongo Project kutusimulia maisha yake. Ameelezea jinsi alipotoka kimuziki na vile ndoto zake za uigizaji zilipobadilishwa na kwenda kwenye muziki. Ameimba vibao vyake vingi pendwa na kubwa kabisa ameelezea kwa uwazi kabisa ukweli wote kuhusu sakata la kutumia madawa ya kulevya. Usikose interview hii kali.
#rechokizunguzungu #bongoproject #bongofleva #THT #recho
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: [ Ссылка ]
Facebook: [ Ссылка ]
TikTok: [ Ссылка ]
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
Ещё видео!