Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametangaza ongezeko la wagonjwa wapya kumi nne (14) wenye maambukizi ya virusi vya corona ambao wote ni Watanzania. Wagonjwa 13 ni wakazi wa Dar es Salaam na mmoja ni Mkazi wa Arusha, Ongezeko hilo linafanya idadi ya visa kufikia 46 nchini Tanzania.
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
Ещё видео!