Please watch: "Okwi na Boko Walivyoichakaza Majimaji FC, SIMBA 4-0 MAJIMAJI"
[ Ссылка ] --~--
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemjulia hali mwanasiasa mkongwe Mzee Kingunge Ngambale Mwiru aliyelazwa katika wodi ya Mwaisela, Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Hali hii ya kulazwa kwa Mzee Kingunge inakuja wakati Mke wake, Peras Kingunge akiwa amefariki dunia juzi Alhamisi Januari 4, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo bado ahajzikwa.
![](https://i.ytimg.com/vi/FtCUG-WvfNU/mqdefault.jpg)