Binti Paula baada ya kupendana na kijana aitwae Joseph, Joseph anamuweka wazi kuwa tayari kuna binti kamchumbia na anatakiwa kumuoa ila Joseph anabadili maamuzi ya kutaka kusimamisha mipango ya ndoa na amuoe Paula, Je ndoa itafanikiwa? japo paula mpaka alipoteza mapacha na kizazi ili aolewe, Je ilikuwaje mpaka akapoteza mapacha na kizazi ili aolewe?
ungana nami LUCAS LUMBASI katika simulizi hii fupi na kweli.
![](https://i.ytimg.com/vi/G7OdTmZi21M/maxresdefault.jpg)