Mamlaka ya mapato nchini TRA mkoa wa Kikodi Temeke imetoa onyo kwa wafanyabiashara wote nchini wasiotumia mashine za kielektroniki za EFD katika kuendeshea biashara zao kwakuwa hatua kali zitachukukiwa juu yao ikiwemo kufikishwa mahakamani wakiwemo wateja wale wanaoomba kupunguziwa bei na wafanyabiashara ili wasizitumie mashine hizo
Hayo yamesemwa na meneja wa TRA mkoa wa TEMEKE na amebainisha tayari mahakama ya wilaya ya TEMEKE mashauri 21 tayari yamekwisha fikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutolewa maamuzi ya kisheria
![](https://i.ytimg.com/vi/G8f9c8e-Jww/maxresdefault.jpg)