#WekaManeno Siku ya jana Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, alimuagiza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kujibu upya swali ambalo liliulizwa na Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina, kwa nini kesi 1097 za kodi zenye thamani ya shilingi Trilioni 360 na Dola za Kimarekani milioni 181.4 hazijaamuliwa hadi sasa…?
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu, leo Bungeni ametolea ufafanuzi wakina juu ya swali la Mhe. Luhaga Mpina.
#Fiesta2022 #MchongoFiesta
![](https://i.ytimg.com/vi/GCIWybpy_sE/maxresdefault.jpg)