Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha imemfutia kesi Mkurugenzi wa Kampuni ya Uwindaji wa Kitalii ya Oterlo Businness Cooperation (OBC) Isack Mollel na raia 10 waliokuwa wameshitakiwa kwa kosa la kufanya kazi katika kampuni hiyo kinyume cha sheria za kutoa ajira kwa wageni nchini.
#AzamNews #AzamTVUpdates #UTV
Ещё видео!