Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge leo amemuapisha Mkuu wa Wilaya mteule wa Rufiji Meja Edward Gowele huku akimuagiza na kumtaka akasimamie sheria na haki na kwamba akawaongoze wananchi kwa misingi ya utawala bora na asionewe mtu wala kupendelewa na zaidi akitaka ubunifu
Aidha Meja Gowele amesema atahakikisha kuwa anakuwa mtumishi wa watu na kuikita katika kutatua changamoto za wananchi
Ещё видео!