#islaamic #drsulle #tanzania #live #geita
Ni katika muendelezo wa Dua Visomo na Nasaha kwa ajili ya Taifa letu la Tanzania ikiwemo kukemea vitendo vibaya vinavyojiri kila kukicha. sambamba na hayo mtalam Dr.Sulle anaendelea kuhasa jamii kuhusiana na mapenzi ya jinsia moja.Lakini pia kumuombea rais wa tanzania DKT Samia Suluh Hassan.
tafadahali karibu na sambaza link ya ujumbe huu ili wengi wapate kuelimika #africa
unaweza kutufatilia pua kupitia mitandao yetu ya kijamii karibu.
Ещё видео!