Ni wimbo ulioimbwa na Kwaya ya Mt. Fransisco Exavery kutoka chuo cha Serikali za mitaa -Hombolo.
Katika Injili ya Lk.5:4 ,tunaelezwa kuwa Bwana Yesu alimwambia Petro,"Tweka mpaka kilindini,mkashushe nyavu zenu mvue samaki."
Pamoja na kwamba Petro alisita kutokana na kukesha usiku kucha pasipokupata kitu, alitii agizo la Bwana Yesu. Vivyo hivyo katika maisha yetu ya leo, ni mara nyingi Bwana wetu amekuwa akituasa TUZISHUSHE NYAVU ZETU kupitia njia mbali mbali ili kutimiza mambo fulani fulani katika maisha yetu.
Je, ni maono gani unadhani ilikuwa ni sauti ya Bwana wetu Yesu Kristo ikikuasa kuzishusha nyavu zako?
Karibuni kwa tafakari hii fupi, na Mungu atubariki sote ,Amina.
#Kwayakatoliki
WIMBO: TUZISHUSHENI NYAVU
MTUNZI; M.C MABOGO
PRODUCTION: KHAKI MEDIA PRO
Follow Us on,
Facebook: [ Ссылка ]
Instagram: [ Ссылка ]
For Booking;
Mobile No: +255752 657 198
Whatsapp: +255 620 253 958
e-mail: khakimediapro@gmail.com
Ещё видео!