Siku moja kabla mamlaka ya kudhibiti kawi kutangaza bei mpya za mafuta, wakenya wengi wanahofia kuwa gharama ya maisha sasa bitapanda mara dufu. Runinga ya citizen ilizungumza na baadhi ya wahudumu wa sekta ya usafiri ambao wanasema bei ya nauli ni lazima ipande iwapo mamlaka hio itapandisha bei ya mafuta
Ещё видео!