Stesheni ya redio ya Egesa Fm imetua katika maeneo ya Kemera, Kaunti ya Nyamira kwa lengo la kuhamaisha umma kuhusiana na kozi za kiufundi ,umuhimu wa kubuni nafasi za ajira na kuendeleza sekta ya uzalishaji bidhaa nchini. Aidha hafla hiyo imeleta pamoja taasisi mbalimbali za masomo kaunti ya Nyamira na inahudhuriwa na vijana waliokamilisha masomo ya kidato cha nne.
![](https://i.ytimg.com/vi/Gjhx71GnEXw/maxresdefault.jpg)