Watu wengi sana wameharibu mahusiano au ndoa zao kwa sababu ya tatizo la kushindwa kushughulikia migogoro baina yao. Migogoro haiepukiki lakini ni mbinu gani mnatumia katika kuisuluhisha? Mnafanya nini ili migogoro hiyo isiathiri maeneo mengine ya mahusiano yenu? Nifuatilie hapa nikupe Mbinu 5 za kupooza migogoro kwenye mahusiano yenu
![](https://i.ytimg.com/vi/Gu39JKBMurs/maxresdefault.jpg)