Katika Makala hii tumemulika hatua za kufuata wakati wa kuvuna mahindi, utawasikia wataalamu mbalimbali wakielezea hatua kwa hatua kuanzia maandalizi ya kuvuna, kuvuna kwa wakati muafaka, namna ya kupukuchua mahindi, kuhifadhi na namna ya kunusuru mahindi yaliyobanguliwa na wadudu.
Pia utamsikia Mhe Omary Mgumba ni Naibu Waziri wa Kilimo katika Makala hii akizungumzia kuhusu Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) hatua inazozitumia za kuzingatia ubora wakati inaponunua mahindi kwa wakulima ili kukidhi viwango vya soko la kitaifa na kimataifa
![](https://i.ytimg.com/vi/GyrWIe0n3Q4/mqdefault.jpg)