#drsulle #live #tanzania
Kutokana na sakata la mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi linaolendelea nchini hapa Tanzania yakiwa ni mawazo potofu ya baadhi ya watu wakizani kufanya hivyo ndiyo kupata mafanikio.Kiongozzi huyu wa dini na ya Uislam ALHAJ-DR.SULLE kafunguka mengi juu ya changamoto hiyo.
USIKOSE PIA KUTUFUATILIA KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII KAMA VILE INSTAGRAM TIKTOK FACEBOOK NA KWINGINE KOTE KARIBU.
![](https://i.ytimg.com/vi/HH1BtUiWzq0/maxresdefault.jpg)