Mhe @jokatemwegelo akiwakaribisha wanafunzi wa #SUA na #UDSM kutalii kwenye vivutio vya utalii vilivyopo wilayani #Kisarawe. Pia Miss SUA @teddy_yassin na Wanafunzi walipanda miti ili kuhifadhi mazingira
Tour iliandaliwa na kikundi cha @asili_group kushirikiana na SUASO ( SUA) na Mpika Frank ( UDSM) #jokatemwegelo
Video: @cinehood_
Presenter: @gojoxgzoo & @gpm_tz
Photo: @rg_photography001 #Kuhifadhindiyomchongo2021
Ещё видео!