MOTO Umewaka DC SABAYA Amkaanga MBOWE TRA - ''Amekwepa Kodi''
Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ametembelea ofisi za mamlaka ya mapata TRA ya Wilaya ya Hai na kuwapongeza kwa ukusanyaji wa mapato.Vile vile
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Ndg Lengai Ole Sabaya, amemuagiza meneja wa (TRA) wilayani humo, Rashid Murith kwa kushirikiana na Kamanda wa Polisi wilaya OCD Lwelwe Mpina kufanikisha upatikanaji wa magari zaidi ya mawili yaliyoingizwa nchini bila kufata taratibu.
Lengai amesema kwa zaidi ya miaka minne kampuni hiyo ya (Hai Kilimanjaro development initiateve) iliyo chini ya Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe (Mkurungezi wa Kampuni) na Clement Kwayu kwa kipindi chote hicho hawajawahi kulipa kodi ya serikali inayokadiriwa ni zaidi ya Milioni Mia tano.
#MBOWE #DCSABAYA #TRA
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Globa
![](https://i.ytimg.com/vi/HkEq8O8QYCc/maxresdefault.jpg)