DC SABAYA Akata UMEME OFISI Ya MKURUGENZI WAKE, Amuagiza UURUDISHE Haraka!
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amemuagiza meneja wa Tanesco wa wilaya ya Hai Kukata umeme kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Halimashauri ya wilaya ya Hai na kurudisha umeme katika soko la walaji la boma Ng'ombe.
Hii ni mara ya pili kwa Ole Sabaya kuchukua maamuzi hayo kutokana na soko hilo kuwa chini ya umiliki wa mkurugenzi wa Halimashauri ambaye amekuwa akichelewa mara kadhaa kulipa deni la bili ya Tanesco hali inayopelekea Tanesco kukata umeme katika soko hilo.
[ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global Apphttps://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
![](https://i.ytimg.com/vi/IXSaB3A0014/maxresdefault.jpg)