Subscribes:[ Ссылка ]
Mapema leo zilianza kusaambaa taarifa za kutoka gerezani na kutumikia kifungo cha nje Muigizaji Elizabeth Michael maarufu kama Luluu
Basi Taarifa hizo zimethibitishwa na makao makuu ya magereza hapa nchini Tanzania na kutolea ufafanuzi sababu za msanii huyo kuachiwa na kutumikia kifungo cha nje
Ni kwa mujibu wa sharia ya magereza sura ya 58 kifungu namba 49 kifungu kidogo cha kwanza, chapili na chatatu ambacho mfungwa yeyote isipokuwa wa kunyongwa na maisha mara baada ya kupokelewa gerezani msamaha wa theleuthi ya kifungo chake hivyo eleizabeth maiko Luluu Alipata msamahha huo na kutakiwa kuachiliwa huru tarehe 12 march 2019
Sasa tarehe ya 26 april siku ya kuadhimisha sherehe za miaka 54 za muungano rais john magufuli kupitia madaraka aliyopewaa alitoa msamaha wa robo kwa wafungwa wote wenye sifa za kunufaika na msamaha huo
Kufuatia msamaha huo Elizabeth Michael aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka miwili jela alinufaika na msamaha huo na kutakiwa kutoka gerezani Novemba 12 mwaka 2018
Ssa Elizabeth Michael Lulu Amechiliwa kwenda kutumikia kifungo cha nje community service toka may 12 mwaka 2018 kwa amri ya mahakama kuu ya Tanzania
Hivyo Basi Elizabeth Michael maarufu kama lulu kutokana na kukidhi vigezo vya kisheria na kuonesha tabia njema akiwa gerezani amenufaika na utaratibu huo.
Subscribes:[ Ссылка ]
Ещё видео!