Roma alivyoangalia kwenye meza ya kioo aliona kikaratasi cha rangi ya njano kilichokuwa kimebandikwa kwenye Meza ba gundi, kilikuwa na maneno yaliyosomeka ya kwamba “Your Majest Pluto tumeshangazwa na Jumba unalokaa ni kubwa sana, Tupo na mkeo pamoja na Mama wa nyumbani , ukiwataka wakiwa hai tuletee jiwe la Kimungu(Godstone),Sehemu ni Magwepande , uje peke yako... From Yamata Sect” JE! ROMA ATAWAPELEKEA JIWE LA GODSTONE ILI KUMUOKOA EDNA NA BI WEMA?
![](https://i.ytimg.com/vi/IZh1EBJhiPs/maxresdefault.jpg)