Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba imemhukumu kunyongwa hadi kufa Mwalimu wa shule ya Msingi Kibeta, Respicius Patrick baada ya kutiwa hatiani kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa darasa la tano, Sperius Eradius na kumuachia huru mwalimu Herieth Gerald.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
![](https://i.ytimg.com/vi/IixzbjdWkl0/maxresdefault.jpg)