Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amesema hatua za kisheria zitachukuliwa kwa wavuvi waliomuua Ibrahim Juma na wananchi wa watatu aliyekuwa Afisa Mfawidhi wa Usimamizi wa raslimali za Uvuvi wilayani Ukerewe akiwa katika majukumu yake ya kikazi kisiwani hapo Julai 22 baada ya kukataa kukaguliwa dhana zao za kivuvi kisiwani Siza.
Waziri Mpina amesema mauaji hayo hayawezi kuzuia kupambana na uvuvi haramu “Hamuwezi kushindana na serikali na hapa natangaza vita ya uvuvi haramu inaanzua hapa” waziri Mpina
![](https://s2.save4k.ru/pic/IiyUF4u8Bnc/maxresdefault.jpg)