ELIMU
NA MERCY SEKABOGO
OKT 31.2017
SONGWE
TV/PRESS
AFYA ZA WANAFUNZI HATARINI MBOZI
IMEDAIWA kuwa hali ya afya kwa wanafunzi zipo hatarini kutokana na matumizi ya dawa zinazotumika kutibu nafaka zisibunguliwe na wadudu kama ushauri wa Kitaalamu hautatumika kuelemisha namna ya kutibu na muda wa kuanza kutumia kwa chakula nafaka hizo baada ya kuwekwa dawa .
Zaidi na Mercy Sekabogo kutoka Mkoani Songwe anaripoti
VT.NEXT
Hayo yamejili katika Kikao cha Kawaida cha Baraza la Madiwani ambapo imeelezwa kuwa mwitikio wa uchangiaji chakula shuleni Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe umekuwa chanya, lakini imebainika huenda ukasababisha madhara kwani hakuna utaalamu katika kutibu nafaka hizo.
SB.Allan Mgulla-Diwani Itaka
Ushauri unatolewa na Bahati Mbughi Diwani wa Kata ya Ichenjezya namna ya kuhifadhi mazazo bila kuleta madhara kwa walaji.
SB.Bhati Mbughi-Diwani Kata ya Ichenjezya
Hadi sasa zaidi ya akiba ya chakula ni magunia 5300 maharage gunia 400 hii ni kwa takwimu za hadi mwezi june, Muda ukatolewa kwa wazazi wasiochangia chakula shuleni kwani tangu chakula kianze kutolewa shuleni ufaulu wa wanafunzi umeongoezeka tofauti na mwaka uliopita.
SB. Erick Ambakisye Mkt Halmashauri ya Mbozi
Maarifa Mwashitete Diwani kata ya Halungu
Pamoja na mafanikio hayo Ushauri ukatolewa kutowapa wanafunzi chakula cha aina moja kila wakati badala yake kuwepo na chakula mchanganyiko kwaajili ya kuboresha afya za wanafunzi nimezungumza na Rydia Shong’ela mtaalamu wa lishe na Afisa Mazao wilayani Mbozi.
Sign Off
Ещё видео!