RAIS KARIA ATOA MSISITIZO KUHUSU ADHABU - "TUTATENDA HAKI, SHERIA TUMEZIPITISHA WENYEWE"...
Rais wa shirikisho la soka hapa nchini TFF Walace Karia amewataka viongozi wa vilabu hapa nchini kuheshimu adhabu wanazopewa na shirikisho hilo kwakua kanuni za utoaji adhabu hizo hutungwa na viongozi wa vilabu hivyo.
Karia ameyasema hayo katika mkutano wa 17 wa shirikisho hilo uliofanyika jijini hapa ambapo pamoja na mambo mengine Mkutano huo umepitisha jumla ya bilioni 11 kutumika katika bajeti ya shirikisho hilo kwa mwaka 2023.
Na Johnson James- GPL
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!