TUNAUZA MASHINE YA KUPUKUCHULIA MAINDI 🌽
WE ARE SELLING CORN 🌽 THRESHING MACHINE | CORN SHELLER MACHINE
Bei ni 1,200,000
Call/Text/WhatsApp: 0712 25 31 02
@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @afyakiganja @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo
Masaa ya kazi ni kuanzia Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku
Corn sheller machine ni mashine maalum inayotimika kupukuchulia mahindi.
Faida ya kutumia hii mashine ni kwamba unaokoa muda na gharama za kulipa vibarua kwajili ya hii kazi.
Mashine inatumia umeme wa single phase, single phase ni umeme wa nyumbani na ni AC.
Sifa za kielectronic na uwezo wa hii mashine
1. Mashine inauwezo wa kupukuchua kilo Elfu moja na miambili kwa lisaa (1200 Kg/hrs).
2. Hii mashine imeundwa chuma cha steel ambacho ni kigumu na chepesi, na kwasababu hiyo hii mashine sio nzito sana, unaweza isogeza au kuhamishika kwa urahisi.
3. Uwezo wa motor yake inauwezo volt miambili ishirini (220V), hivyo haili/haitumii umeme mwingi.
4. Mashine ina srings ambazo ni imara sana na zina jisogeza automatically ili kupukuchua magunzi ya size mbalimbali.
#threshingmachine #maindi #corn #mashineyakupukuchuamaindi #cornthreshingmachine #maize #cornshellermachine #kilimochamahindi #sokolamahindi #mbeguzamahindi #maizeshellermachine #maizethreshingmachine
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 692 430 263
Email:
kilimotz3@gmail.com
YouTube: [ Ссылка ]
Website link: [ Ссылка ]
Google location: [ Ссылка ]
#joackcompany #joackvetcenter #Kilimo #kilimotz #mifugo #mifugotz #mbogamboga #tanzania🇹🇿 #kilimo #agricultural #tanzania #papai #nyanya #daressalaam #morogoro #tanzaniaweddings #dodoma #mwanza #mbeya
JOACK Company LTD | DSM & Bagamoyo
Ещё видео!