Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda amepokea msaada wa dawa kutoka Heko Pharmacy zenye thamani ya shilingi milioni 58 kwa ajili ya kuwapatia wagonjwa walijtokeza kwenye kambi ya matibabu inayoendelea katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid- Arusha.
Rc Makonda amepokea dawa hizo leo tarehe 28 Juni 2024 baada ya kuziomba kwa uongozi wa Pharmacy hiyo na kisha kupewa ndani ya masaa mawili.
Ещё видео!