Marafiki wawili wanajeshi wanapewa misheni ya kwenda kumuokoa binti mtoto wa makamu wa raisi ktk kambi ya waasi waliokua wameteka... Wanazama kambini wanafanikiwa kumuokoa.. ila wanapotoka mambo hayakwenda sawa kwa mmoja kati yao.. mmoja anafanikiwa kuondoka na binti wa makamu ila mmoja anashindwa kuondoka pale kambini... ndipo kisha cha hawa TWO BROTHERS kinaanzia hapo.. Sikiliza kujua nini kilitokea haswa..
![](https://i.ytimg.com/vi/JTz17jjjOpQ/maxresdefault.jpg)