Mashabiki wake hupenda kumuita 'rais wa kitaa', Emmanuel Elibariki Almaarufu kama Nay wa Mitego @naytrueboytz ni miongoni kati ya wasanii wa muziki nchini Tanzania ambaye tungo zake mara kadhaa zinamtia matatani kutokana na mamlaka za udhibiti wa maudhui kutoridhishwa na tungo zake.
Je ni kwanini ameamua kufanya aina hii ya muziki?
Video: @eagansalla_gifted_sounds
#bbcswahili #tanzania #muziki
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili [ Ссылка ]
Ещё видео!