GLOBAL HABARI DEC 21: Rais Magufuli Awatunuku Vyeo Maofisa Wa Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, leo Desemba 21, Amewatunuku vyeo maofisa wa polisi walioanya vizuri zaidi katika mafunzo ya Uofisa na ukaguzi katika chuo cha polisi Kurasini.
Akizungumza katika hotuba yake wakati wa hafla hiyo rais Magufuli amelitaka jeshi la polisi kusimamia vigezo vyake pindi wanapowaajiri polisi wapya ili kuepuka changamoto mbalimbali zinajitokeza katika jeshi hilo.
Aidha katika hatua nyingine Rais amesema kwasasa Anahitaji askari wanaofanya kazi vizuri na akampongeza Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Sirro na makamanda wote nchini kwa kazi wanayoifanya.
#GLOBALHABARI
Watch More Videos here: [ Ссылка ]
Watch More Videos here: [ Ссылка ]
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers
Instagram: www.instagram.com/globalpublishers
Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ] USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK [ Ссылка ]...
Ещё видео!