Subscribes:[ Ссылка ]
ILI kuhakikisha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inapata ushindi dhidi ya Tunisia mchezo ambao ni wa marudiano kuelekea kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani viongozi wa Simba na Yanga wameungana kuisapoti timu hiyo.
Mkuu wa Kitendo cha Idara ya Habari ya Simba, Haji Manara na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Mhandisi Hersi Said wamezungumzia kuelekea mechi hiyo itakayochezwa Kesho Jumanne kuanzia saa 4:00 usiku.
HABARI MPYA DAILY:[ Ссылка ]
HABARI ZA MICHEZO: [ Ссылка ]
HABARIZA WASANII: [ Ссылка ]
HABARI ZA SIASA: [ Ссылка ]
Instagram: [ Ссылка ]
Facebook: [ Ссылка ]
Twitter: [ Ссылка ]
Subscribes:[ Ссылка ]
Ещё видео!