Video ya vikatuni kutoka Shirikisho la Kimataifa la ugonjwa wa Kisukari (IDF) ambalo linaleta taarifa nne muhimu duniani kutoka jumuiya ya kimataifa ya kisukari:
1) Ugonjwa wa kisukari ni tishio kubwa kwa usalama wa binadamu
2) Ushindwaji wa kimataifa kuwekeza katika ugonjwa wa kisukari umesababisha mgogoro wa sasa
3) Habari ni mbaya lakini tuna ufumbuzi
4) Ugonjwa wa Kisukari huathiri kila mtu na unahitaji mwitikio wa pamoja
[ Ссылка ]
Ещё видео!