Kutokana na Tukio lilitokea hivi Karibuni la Kuuwawa kwa Mtoto mwenye Ualbino. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Jokate Urban Mwegelo ameisihi Serikali kuendelea kuchukua hatua zaidi ili kuzuia matukio ya Ukatili kuendelea kutokea kwenye Jamii.
Hayo ameyasema Juni 21,2024 Wakati akizungumza na Vijana wa UVCCM na Viongozi mara baada ya kuwasili Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Mkoani Iringa.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
![](https://i.ytimg.com/vi/K77I6-HN6WQ/maxresdefault.jpg)