#OFFTRACKTV #offtracktv #geita #nyakato
Wakazi wa Mtaa wa Nyakato Kata ya Nyanguku wilayani na Mkoani Geita wamekumbwa na taharuki baada ya mwanamke ambaye amefahamika kwa jina la Bugumba Misalaba anayekadiliwa kuwa na miaka 30 aliyefariki na kuzikwa tarehe 7 mwezi 9 ,2020 kupatikana akiwa hai tar 1 January 2024 katika maeneo ya mitaa hiyo.
......
Kaka wa Mwanamke huyo pamoja na Mjomba wake wamedai ndugu yao alipatwa na umeuti kwa ajali ya kugongwa na gari wakati akitoka kumsalimia ndugu yao Wilaya Jirani ya Sengerema.
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 [ Ссылка ]
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
[ Ссылка ]
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe:[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/KMfkOImY8To/maxresdefault.jpg)