Azazeli ni jina linalojitokeza katika vitabu vingi vya dini, hususani, katika Biblia, Vitabu vya Kiislamu, na Kitabu cha Henoko. Azazeli anatajwa kuwa ni jini, Ibilisi, malaika muasi na shetani. Katika Uislamu, Azazeli alikuwa malaika. Alipoasi ndipo akaitwa Ibilisi. Ibilisi huyo anaitwa pia shetani katika Uislamu.
Ещё видео!