DC alisema "Unyonyeshaji wa maziwa ya Mama. Unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa njia sahihi na kwa muda unaotakiwa kwa mtoto ni muhimu sana kumjengea afya mtoto. Mtoto akue vizuri na kuwa tumaini la taifa kwa baadae. Kwa akina mama ni muhimu kupata vyakula bora ili waweze kutoa maziwa yenye ubora na virutubisho kwa watoto. Nichukue fursa hii pia kuwapongeza akina mama wote wanaonyonyesha watoto wao na kwa akina baba wanaoshiriki kikamilifu kwenye malezi ya watoto.,"
![](https://i.ytimg.com/vi/KWFT49FZAYQ/maxresdefault.jpg)