Jinsi ya kuanzisha mfumo wa biashara unao zalisha faida
Mfumo wa biashara ni muhimu sana kama mfanyabiashara anataka mafanikio katika kusimamia biashara zake.
Wafanyabiashara wengi wa Kitanzania hawaweki mfumo wa biashara ambao unafanikisha biashara kupata faida.
Sababu kubwa ya wajasiriamali kutokuwa na mifumo inayo inayo changia kuzalisha faida ni kutofahamu maana na umuhimu wa mfumo wa biashara.
Mfumo wa biashara ni vitengo vinavyo anzishwa kwenye biashara kwa madhumuni ya kufanikisha malengo malengo yaliyowekwa.
Video inaeleza mambo muhimu 7 ambayo hutumika wakati wa kutengeneza mfumo wa biashara unaozalisha faida.
1. Soma eBooks za Ujasiriamali za Tan Business Channel: Wasiliana nasi kupitia Whatsapp 0716 682 439
2. Tan Business Online School: [ Ссылка ]
3. Pata ushauri kupitia WhatsApp 255 716 682439
4. Pata habari zaidi kupitia website yetu: www.tanbusiness.co.tz
5. Mitandao yetu ya kijamii:
Facebook: [ Ссылка ]
Instagram: [ Ссылка ]
YouTube: [ Ссылка ]
#jifunzeujasiriamali #vitabuvyaujasiriamali #alimwmabola #tuongeebiashara #tujifunzeujasiriamali #mizungukoyaujasiriamali
Ещё видео!