Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai kuwa dawa hizo zina madhara na badala yake watumie vyakula vyenye madini ya Zink yakiwemo maharage aina ya Jesca yaliyofanyiwa utafiti na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) kituo cha Uyole Jijini Mbeya, tumefika TARI Uyole kupata taarifa zaidi kuhusu maharage hayo.
![](https://i.ytimg.com/vi/KovPTzMr-0Y/maxresdefault.jpg)