"Dar es Salaam ni kubwa mnoo..., hatuwezi kuishi maisha haya kila mara, na mimi nikisema mkuu wa mkoa hebu nije nikae dukani kwako niangalie kiwango kikubwa cha ukwepaji kodi, nyie mtaishi hapa Kariakoo, sio kwamba mimi ni chizi, sina akili nafahamu kuna wakati mwingi risiti hamtoi"-Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam.
#sensema #nibusu #rayvanny #komasava #chalamila #morningjam #diamondplatnumz #kariakoo #WAFANYABIASHARA #vanilla #biashara
![](https://i.ytimg.com/vi/L-EaEMah8v0/maxresdefault.jpg)