DUNIA IMEKWISHA! BABA AMPA MIMBA MWANAE WA KUMZAA, MAMA MZAZI ASIMULIA - "ALISHAMPA MWINGINE"
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni! Hebu vuta picha kichwani mwako, baba mzazi anafanya mapenzi kwa nguvu na mwanaye wa kumzaa, na kama hiyo haitoshi, anampa ujauzito kabisa! Ni jambo lisilowezekana si ndiyo? Haingii akilini si ndiyo?
Sasa kwa taarifa yako, tukio kama hilo limetokea Kibaha kwa Mfipa mkoani Pwani ambapo mwanaume anayetambulika kwa jina la Fadhil Mshamu anatuhumiwa kumuingilia kimwili mwanaye wa kumzaa ambaye jina lake linahifadhiwa kwa sababu maalum, kisha kumpatia ujauzito.
Mbaya zaidi, binti huyu aliyefanyiwa ukatili huo, ana matatizo ya mtindio wa ubongo! Ama kwa hakika dunia haina huruma! Mpaka sasa binti huyo ana ujauzito wa miezi miwili, ujauzito aliopewa na baba yake mzazi.
Timu ya waandishi mahiri wa habari za uchunguzi na za kijamii kutoka Global TV, ikiongozwa na Richard Bukos na Issa Mnally, imefunga safari mguu kwa mguu mpaka eneo la tukio, Kibaha Kwa Mfipa mkoani Pwani kwenda kuchimba kwa undani kuhusu tukio hili.
Mwamvua Ally John, ni mama wa binti aliyepewa ujauzito na hapa anaeleza jinsi alivyogundua suala hilo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/L-FM6-t1ct8/maxresdefault.jpg)