🔴#LIVE: GLOBAL HABARI MEI 17 - WAGONJWA wa CORONA WAPUNGUA NCHINI, MAGUFULI Athibitisha..
Rais Dk.John Pombe Magufuli ameeleza kupungua kwa wagonjwa wa maambukizi ya virusi vya corona hapa Nchini huku akiwataka watazania kupunguza hofu sambamba na kuchukua tahadhari zaidi ili kujikinga na ugonjwa huo.amewataka watanzania ametoa salamu kwa watanzania wakati aliposhiriki.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo Mai 17,2020 huko Mkoani Geita aliposhiriki katika kanisa la KKKT Ushirika wa Chato huku akitumia fursa hiyo kueleza mwenendo wa ugonjwa wa Corona hapa Nchini ambao kwa sasa ni janga Duniani kote.
Aidha Rais Magufuli amewaeleza watanzania namna ambavyo mtoto wake aliugua ugonjwa wa virusi vya Corona na njia alizozitumia kupona ugonjwa huo
Ugonjwa wa virusi vya Corona umekuwa ni janga Duniani kote ni vema zaidi watanzania tukachukua tahadhari dhidi ya kujikinga na ugonjwa huo kwa kunawa mikono mara kwa mara kwa maki tiririka sambamba na kuepuka misongamano isiyo na lazima
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!