TAZAMA MABEHEWA MAPYA ya SGR YAKISHUSHWA BANDARINI Yakitokea KOREA KUSINI...
Mabehewa yatakayotumika kwenye reli ya kisasa (SGR) yameanza kuwasili nchini kutoka Korea Kusini ambapo tayari mabehewa 14 yamepokelewa.
Oktoba 2022 akiwa nchini Korea Kusini, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alitembelea kiwanda cha Kampuni ya Sung Shin Rolling Stock inayotengeneza mabehewa ya reli ya kisasa (SGR).
Waziri Mkuu akiwa nchini humo alisema “Kati ya mabehewa 81 ambayo Tanzania inatengeneza kutoka kwenu, tayari 36 yamekamilika na yameshapelekwa nchini Tanzania na 45 yaliyobaki yanategemewa kukamilika Machi, 2023. Mabehewa
haya ni ya daraja la tatu na yatatoa huduma zote muhimu.”
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/LHyosHdYVyQ/maxresdefault.jpg)