#MVNYERERE
MV NYERERE: Tazama Miili ya Watu Ikiopolewa Ziwa Victoria, Inahuzunisha!
Kufuatia ajali mbaya ya Kivuko cha MV Nyerere kilichozama karibu na Kisiwa cha Ukara, zoezi la kuopoa miili ya watu waliokufa pamoja na kuwaokoa walionusurika, linaendelea huku Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela akiongoza zoezi hilo.
Taarifa kutoka Wilayani Ukerewe zinaeleza uwa kivuko hicho kilikuwa kinatoka katika Kisiwa cha Ukerewe eneo la Bugorola kwenda kisiwa cha Ukara.
Kwa mujibu wa mashuhuda, kivuko hicho kilikuwa na zaidi ya abiria 400 huku mpaka usiku, abiria 50 wakiwa wameokolewa na kupelekwa Kituo cha Afya Bwasha, Ukara kupatiwa matibabu na wengine 350 wakihofiwa kufa maji.
[ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Suazi1 [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ].
Ещё видео!