@planetfiveea #ligikuubara #vpl #tpl
BAADA ya ratiba ya Ngao ya Jamii kuwa wazi na ikitarajiwa kuchezwa Septemba 25 kati ya Simba v Yanga, leo Bodi ya Ligi Tanzania, (TPLB) imeweka hadharani ratiba ya ligi.
Ratiba inaonyesha kwamba Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuanza rasmi Septemba 27.
Mtibwa Sugar v Mbeya Kwanza, Namungo v Geita Gold, Coastal Union v Azam FC, Dodoma Jiji v Ruvu Shooting, Mbeya City v Mbeya City
Biashara United v Simba SC, Polisi Tanzania v KMC, Kagera Sugar v Yanga.
Ratiba ya ligi kuu tanzania bara vodacom 2021/22
ratiba ya ligi kuu tanzania bara 2021/22 yatangazwa rasmi.
ratiba ya ligi kuu ya tanzania
#LIVE TFF WANATANGAZA RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA 2021/22
HII NI RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA 2021/22
Теги
ratiba ya ligi kuu tanzania 2021/22ratiba ya ligi kuu ya tanzaniaratiba ya ligi kuu tanzania bara vodacomratiba ya ligi kuu tanzania bara 2021/22ratiba ya ligi kuu tanzania bara 2022ratiba ya ligi kuu keshoratiba ya ligi kuu tanzania bararatiba ya ligi kuu tanzania bara wiki hiiratiba ya ligi kuu bararatiba ya ligi kuu bara wiki hiiratiba ya ligi kuu bara leoratiba ya ligi kuu bara keshoratiba ya ligi kuu bara 2021/22simba vs yanga