WENYE GARI za LAND ROVER MAKONDA ANAWAITA ARUSHA MKALE BATA - wa IST SUBIRINI TUANGALIE......
Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda ametangaza 'Land Rover Festival' inayotarajiwa kufanyika mwezi wa kumi jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari leo julai 11.2024 Makonda amesema wanatarajia kupokea wageni wenye magari ya kifahari aina ya Land Rover 2000 na hadi sasa watu zaidi ya 700 wamethibitisha kushiriki tamasha hilo lenye lengo la kutangaza na kuchochea vivutio vya utalii Mkoa wa Arusha.
NB: wanaoruhusiwa kucomment hapa ni wenye Land Rover tu😂
Cc: @hussein_manane
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉[ Ссылка ]
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/LrmvjaoWeBA/maxresdefault.jpg)